Ukitaka Kupata Msongo wa Mawazo Mpaka ufe oa Hawa Wafuatao

1. Mama mwenye mtoto/watoto aliyeachika akiwa kwenye ndoa

2. Mwanamke aliyeachika ndani ya ndoa

3. Mwanamke yupo karibu mitandao yote ya kijamii, hakuna habari ya kimbea yeye anapitwa (Tena siku hizi WhatsApp wanawake hasa akina dada wana magroup, hadi migegedo ya saizi mbalimbali wanatumiana)

4. Mdada aliyeenda umri halafu anaishi gheto ( Hawa mara nyingi wamekubuhu, hadi wanaume wakwere wanawakwepa, wadada hawa hujifanya social, wana msururu wa marafiki wa kiume, mara nyingi hit and run kwao ni kawaida)

5. Mdada unayemtongoza siku moja, ya pili au ya tatu ukimwita kwako, anajileta. Kumbuka wewe sio wa kwanza kumtongoza, wewe labda ni wa hamsini.

Comments

Popular posts from this blog

Locanda La Scuola, Lusiana / Italy

Madai ya Diamond Kutoka na Kajala Kimapenzi Yapigiliwa Msumari Kwa Picha Hizi za Dada Yake Diamond na Kajala

Masia La Garriga, Castelladral / Spain