Posts

Showing posts with the label Music

Tazama Hapa Video Mpya ya Wimbo wa Vanessa Mdee Unaitwa Niroge.....

Image
Single yake iliyopita ilikua ‘Never Ever‘ na aliitoa October 2015 na sasa ni March 24 2016 katuletea hii mpya inaitwa ‘Niroge’ naomba ukishaitazama niachie comment hapa chini na Vanessa atapita hapa badae kujua mashabiki wake wamesemaje kuhusu huu mdundo wake mpya...

LADY JAY DEE - NDI NDI NDI - NEW SONG & RETURNS OF THE QUEEN.

Image
LADY JAY DEE - NDI NDI NDI The one and only Legendary Queen who stand strong in Bongo Flava, 'Judith Wambura' popular known as 'Lady Jay Dee' is expected to release a new album which will bring her back on the charts after a long time of disappearance. 'Jide' who was quiet in the industry for almost a year now, Expected to drop down that new album on Sunday carrying the name 'Naamka Tena'. The first song to be released in this album will be 'Ndi Ndi Ndi'. 'Christine Mosha', Work Manager of 'Lady Jay Dee' said "all preparations went well and all things are ready, Just waiting for the day. This is the seventh album since she began his music carrier, her fans should prepare to get better tunes after a long silent just because 'Jide' returns with a new vigor as one of her nickname (commando) suggest.!"

Kuna Uwezekano Babu Seya, Papii Kutoka Jela Ndani ya Saa 72 zijazo....

Image
Hatimaye rufaa ya wanamuziki maarufu nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, imesikilizwa katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AfCPHR) jijini Arusha Machi 11, mwaka huu na sasa zimebaki saa 72 tu kujua hatima yao, yaani Machi 18, 2016, UWAZI linakupa zaidi. Rufaa hiyo ilisikilizwa na mahakama hiyo yenye majaji 11 kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) ambapo rais wao ni Jaji Augustine Ramadhani wa Tanzania ambaye pia aliwahi kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania. MAJAJI WENYE SIRI MOYONI Baadhi ya majaji waliotajwa kusikiliza rufaa hiyo na nchi zao kwenye mabano ni Ben Kioko (Kenya), Solomy Balungi Bassa (Uganda), Duncan Tambala (Malawi), Angelo Vasco Matuse (Msumbiji), Sylvain Ore (Ivory Coast), El Hadji Guisse (Senegal) na Rafaa Ben Achous (Tunisia). KUTOKA MAHAKAMANI Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika kutoka katika mahakama hiyo, rufaa hiyo ilisikilizwa kwa faragha na hakuna mwandishi wa habari yeyote aliyeruhusi...

Nay wa Mitego Afunguka Sababu za Kutowataja Diamond na Ali Kiba Kwenye Ngoma Zake

Image
‘’Sikutaka kulizungumzia hili lakini nilijua watu watajaji,hata kwenye ‘comments’ watu wengi wanasema kwanini sijamuimba rafiki yangu Diamond na ana skendo nyingi’’ Alisema Nay Wa Mitego. ‘’Unajua sitaki kufanya kitu ambacho kila mtu tayari anacho kichwani mwake ili ni jawabu tosha kwa watu ambao wanajaji hilo kila mtu angekuwa anategemea ningemdisi Ali Kiba au Diamond sikutaka na kama ningeamua kuwazungumzia hawa watu mimi nazungumzia vitu ambacho kila mtu angekuwa nacho kwenye kichwa chake kama aliwahi kukifikiria lakini hawezi kuhisi kama kuna mtu kukizungumzia ina maana kila mtu alikuwa akitegemea anataka kuona nimemzungumzia Diamond au Ali Kiba’’Aliongeza Nay Wa Mitego. ’Sijafanya hivyo kwa makusudi tu ijapokuwa kuna vitu vya kuzungumza juu yao lakini kulikuwa hakuna umuhimu sana kuna watu walikuwa na vitu muhimu sana ndio maana hii imeenda kiasi hicho’’Alimaliza Nay

New Video: Damz ft Olamide & Niniola - Carry Am Go remix

Image
From the stables of Athena records comes this fresh and exciting video for Carry Am Go (remix) directed by Mex. The song was produced by veteran producer - Young John where Damz slayed the track along side the YBNL General - Olamide and the very talented "Soke & Ibadi" crooner Niniola. Ayo Adesanya also made a memorable appearance in this video. Watch video after the cut... Damz is currently managed by RG5Music

Mwanamuziki Diamond Platnumz Aonyesha Ulimwengu Pesa Aliyozovuna Kwenye Show Dubai.....

Image
Diamond ameamua kuwaonesha mashabiki wake madolari aliyoyachuma Dubai wiki hii. Ni mengi!!Staa huyo amepost burungutu sita zilizoshiba za dola mia mia zikiwa juu ya gitaa.

Video : Cuba Godding Jr seen dancing shirteless at a club in Miami

Image
  The 48 year old actor was spotted dancing half naked at LIV nightclub in the Fontainebleau hotel, Miami, where he was most likely celebrating the success wave of  The people v. O.J. Simpson series that he features in. Cuba seemed too excited about the show’s overwhelmingly positive reviews that he went to party. In the video, He appears out of control, dancing half-naked with his shirt tied around his head. At a point, someone hands him a cell phone which he practically puts in his mouth and then continued dancing. Watch the video... Source- TMZ

See Unique Buildings built Inside estate where 2Face lives

Image
Lifestyle living connoisseur, Haven Homes and developers of Richmond Gate Estate, Lekki where ace musician 2Face and many other celebrities have made their abode, has completed and delivered its 2016 Designs. This was contained in a statement released recently by the company’s Assistant General Manager, Ms Ufuoma Ukueku. The 2016 design is a further improvement on the exterior and interior of the sensational 2015 design and the latest model is already being handed over to subscribers among the firm’s current efforts at Richmond Gate Estate in Lekki. More celebrities have continued to embrace the Haven Homes’ flagship project at Richmond Gate Estate. MTN brand ambassadors recently gathered in Richmond Gate Estate for a video shoot after the video director, Mr Sesan Ogunro came to Haven Homes and was pleased to discover an alternative serene location that is comparable to the exotic scenes in South Africa hitherto patronized for such video shoots. A scene on the ...

Harmonize Afunguka Kwanini Hajawai Kufanya Show Dar..Adai Menejimenti yake ilimkataza

Image
Msanii wa bongo fleva Harmonize ambaye yuko chini ya lebel ya Wasafi inayomilikiwa na Diamond amefunguka kuhusiana na yeye kutowahi kufanya show jijini Dar es salaam na kusema ni mikakati ya menejiment yake kum brand. Msanii huyo ambaye ameachia wimbo mpya wa Bado amesema aliahidiwa kuanza show baada ya wimbo wa pili na pia kuna uwezekano wa kuachia album. “Msanii lazima uji brand,muziki ni biashara na kila biashara ina misimamo na mikakati yake,ukiweka mikakati mibovu huwezi kuingiza faida.Halafu pia menejimenti yangu ilinambia the way tunaku brand hatutaki ufanye show Dar es salaam kwanza mpaka ukitoa wimbo wa pili ndio utakuwa una uwezo wa ku perfom Dar es salaam na popote duniani” alifunguka Harmonize.

MSANII SHETTA AANDIKA UUMBE HUU JUU YA VIDEO YA SHIKA ADABU YAKO YA NAY WA MITEGO

Image
Video ya Shika adbu yako yakwake Nay wa Mitego imetoka nakuwekwa kwenye mitandao leo asubuhi ambapo wengi wameiongelea kwa kila mtu awazavyo. Kwenye video hiyo Nay ametumia watu mbali mbali kuonyesha matukio ambayo amekuwa akiyaimba kwenye ngoma hiyo. Upande ambapo wengi wamezungumzia ni pale ambapo nay anamuimba Shetta nakusema kuwa gari kapewa na Chief Kiumbe huku video ikionyesh amtu akishikwa matako, Wengi wamedhani kuwa ni kweli Shetta anafanywa hivyo, Lakini kupitia account ya Shetta ya Instagram ameandika haya "Nimeangalia hii video Nimecheka sanaaa... hahahahah Wewe Nay jinga sanaaa wewe.... Kama Bado Ujaiona hii video Nenda kwenye Bio ya bwana @naytrueboy #ShikaAdabuYako #SupportOurOwn...!! #MAMBA"Lakini katika maneno hayo aliyo yaweka, Shetta ameambatanisha na video inayo onyesha kipande hicho ambacho kinamuimba yeye kama hapo juu inavyo onekana

Don't follow me on Instagram or snapchat, you will get depressed - Davido

Image
Davido who likes good things and likes to show them off has asked people not to follow him on IG or snapchat if they don't want to die of depression. Davido who's been in the US just got back to Lagos and this was the crowd that greeted him. Watch the video below...

Brandy New: Tazama Video Mpya ya Wimbo wa Nay wa Mitego Ulioleta Utata Mpaka Kufungiwa na Basata-Shika Adabu Yako

Image
Msanii Nay wa Mitego baada ya nyimbo yake kukatazwa kuchezwa katika vituo mbalimbali vya radio na Basata ameachia video ya wimbo huo unaitwa “Shika Adabu Yako”, Video imeongozwa na Nicklass, angalia hapa alafu toa maoni yako.

Jibu la Diamond Kwa Wanaosema Ame Copy Video ya ‘Make Me Sing’ Kwa Lil Wayne.

Image
Msanii Diamond ameamua kuwatolea uvivu watu wanaosema kuwa video yake mpya ya wimbo wa make me sing alioshirikiana na rapper A.K.A kutoka Afrika kusini ameiga video ya Got money ya Lil wayne. Aidha Diamond amethibitisha ule usemi wa hakuna jipya chini ya jua kwa kusema kuwa hakuna mtu yeyote atayefanya kitu kwenye muziki ambacho hakijafanyika. “Watu wanashindwa kuelewa,kila kitu ambacho kinafanyika sasa hivi kwenye muziki kuanzia video,mashairi vyote vilishafanyika,vyote vilishaimbwa ,ni kama vinafanyika kwa marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye,kwa sababu ukisema nakupenda watu washaimba,sikupendi washaimba vyote yaani” alifunguka Diamond.

Ndani ya siku 10, Mdundo wa AKA na Diamond Platinumz ‘Make me sing’ umefikisha views hawa kwenye youTube…

Image
Hit single ya  wakali  , AKA na Diamond Platinumz ‘Make me sing‘ inazidi kuchukua  headline  kwenye Tv station na Radio barani Afrika, leo ikiwa ni Feb 25 imetengeneza views milioni 1 kupitia mtandao wa youtube ndani ya siku 10. views milioni 1 kupitia mtandao wa youtube ndani ya siku 10.  Mdundo huu aliofanya na  Diamond Platinumz  ‘ Make me sing ‘ unamfanya   AKA  kuwa msanii wa kwanza   Afrika kusini  kufikia rekodi hii kwa kipindi kifupi. hizi ndio baadhi ya kolabo alizowahi kufanya  AKA  zenye watazamaji wengi kupitia mtandao wa youtube AKA – All Eyes on Me ft Burna Boy, Da L.E.S. and JR: 1,391,325 views AKA ft K.O – Run Jozi (Godly): 1,065,372 views Emtee – Roll Up (ReUp) Ft WIZKID & AKA (Official Remix): 915,428 views AKA – Baddest ft. Burna Boy, Khuli Chana, Yanga: 820,522 views Anatii – The Saga (Explicit Version) ft. AKA: 430,155 views Chanzo:Millard ayo

Mwanamuziki Mromboso Amuweka wazi Baba yake Mzazi baada ya Dereva Bodaboda Kujiita Baba Maromboso Kwenye Kipindi cha Tegua Mtego

Image
Maromboso kutoka Yamoto Band ameamua kumuonyesha baba yake Mzazi baada ya Jamaa mmoja wa Bodaboda Kujitangaza kuwa yeye ndiye Baba Maromboso, Maromboso aliposti Picha na Kuandika “Huyu Ndo Baba yangu …..Mzee Yusuph Kilungi … Sasa huyo jamaa Wa Tegua mtego ” Boda boda anayejita Baba Maromboso ajipange“

Hanscana ampa Vidonge Q Chief, ni Baada ya Kusema Directors wa Video wa Bongo Hawana Lolote..Amtaka Aache tu Music Miaka 17 Hana Hata Baiskeli..

Image
Muongozaji wa video nchini Hanscana, amemjibu Q Chief kuhusu tuhuma alizowarushia directors wa video wa bongo kwamba hawana lolote na hawezi fanya nao kazi tena. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio Jumanne hii, Hanscana amesema Q Chief ana stress za maisha ndio maana amekuwa akiongea ovyo. “Ye ana stress za maisha, haiwezekani ukafanya muziki zaidi ya miaka 17 halafu huna hata pikipiki wakati kuna watoto wamekuja tu juzi kirahisi rahisi alafu wana kila kitu,” alisema Hanscana. “Kwa hiyo lazima upate mastress uanze kutapatapa, si unajua mfa maji, u can see ur self jamaa ana more than 17 yrs in the game alafu he got nothing, halafu kuna watoto tu wadogo wanafanya kitu, kwa hiyo unaweza ukafikiria, suala dogo kama hilo kitaalamu hizo ni stress za maisha,” aliongeza Hanscana. Pia Hanscana amemtaka Q Chief akae pembeni na kuwaachia wasanii wachanga wafanye kazi kwa sasa, na yeye abaki kuwa mtazamaji. “Ninachomshauri atuachi...

Drake and Rihanna re-enact steamy scene...6 years later

Image
A sneak peek of Rihanna's new video for 'Work' featuring Drake was released yesterday and there's a part the former lovebirds re-enacted their steamy scene from their 2010 collaboration 'What's My Name'. These two should get married and have babies. The video for Work will be out this Monday.

New Video: D’banj – Emergency

Image
D’banj has just released the video for his latest song “Emergency”. The video was directed by Unlimited L.A and D’banj. The video features cameo appearances from Olu Maintain, Jimmie, Skales and more. Watch below.

Linnah Afunguka Sababu za Wasanii wa Kike Kutofanya Vizuri Kwenye Game la Bongo Fleva

Image
Kwenye upande wa game la muziki nadhani hii iko world wide kwamba watoto wa kike wako wachache sana,hata kibongo bongo pia,sasa kuhusiana na game la kibongo linah ana sababu zake ambazo anahisi ndizo zinazosababisha watoto wakike hawatusui kibongo bongo lakini. ‘’Tumekuwa hatuko ‘real’ tuna nafikiana sana maneno huyu kampelekea huyu,mara kutengenezeana stori,halafu vitu vingine zinakuwa sio vya kweli,ukiwa karibu na mtu Fulani mwingine anaona bora akakuharibie,kuna vitu vinaendelea chini ya kapeti tunafanyiana sisi wasanii vinakuwa sio poa,hiyo hali inapelekea tunakuwa hatusapotiani,ndio maana muziki wetu hauendelei,hatuna umoja,’’Linnah Cloudsfm.com

Wimbo wa Shika Adabu Yako Wafanya Mashabiki Wambebe Nay wa Mitego Ju Juu, Mwenyewe Ashangaa na Kusema Haya

Image
Naytrueboy Ameandika Haya: "MadLove AboutLastNight Masasi #ShikaAdabuYako ilipoanza tu Ikawa ivii  Asanteni Watu wangu wa Kusini #ShikaAdabuYako hii Ngoma nadhani kwangu haijawaitokea. Sitaki kuamini kua mpaka Uku mikoani tayari ni Wimbo unaoimbwa na kila Na Kila mtu Kama imetoka miezi Miwili iliyotoka.!! Faraja niliyonayo haielezeki. #ShikaAdabuYako Next week Video out!!" Nay wa Mitego