AJALI: Basi la Leina Tours lapata ajali Kimara Bucha

Basi la Leina Tours lililokuwa likitokea Kahama kuja Dar es Salaam, limeacha njia na kutumbukia katika mtaro eneo la Kimara Bucha  usiku  wa kuamkia leo

Idadi ya waliofariki haijafahamika  ila waliojeruhiwa ni zaidi ya 30 na walikimbizwa  Haospitali  ya  Mwananyamala na Muhimbili.

Comments

Popular posts from this blog

Locanda La Scuola, Lusiana / Italy

Madai ya Diamond Kutoka na Kajala Kimapenzi Yapigiliwa Msumari Kwa Picha Hizi za Dada Yake Diamond na Kajala

Masia La Garriga, Castelladral / Spain