Tazama Hapa Video Nzima ya Wema Sepetu na Idriss Walivyohojiwa na Diva Clouds FM
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Idriss na Wema Sepetu
Couple ya ‘Wedris’ ilipata nafasi ya kuhojiwa exclusive na mtangazaji wa Clouds Fm, Diva kwenye kipindi cha Ala Za Roho usiku wa Alhamisi (Jan 28), ambapo kila mmoja alifunguka mambo mengi kuhusu toka walipokutana na kuanza kupendana, kuhusu wema alivyogundua kuwa ameshika ujauzito wa Idris na mambo mengine.
Kama hukupata bahati ya kusikiliza tazama hapa sehemu ya mahojiano hayo walipokuwa studio za Clouds Fm.
The 23 year old singer and actress wore a plunging black dress with a very high split as she stepped out for dinner with friends in Paris. Soon after Selena got out of her car, she accidentally exposed her pale-coloured pants after a sudden gust of wind blew her skirt to one side. More photos after the cut.
The bosses Marco e Valeria. Holidays in a former school – but of course without teachers and classes. Locanda la Scuola in Veneto is a magical bed & breakfast, that should be definitely on your bucket list! Those who have never been out and about in the hills of Veneto, should rectify this: Bassano del Grappa (after all the home of the famous jeans label Diesel) or Asiago or even the little village of Lusiana are wonderfully authentic villages, in which Italy is still Italy – and where the view isn’t blocked by hordes of tourists. Especially in Lusiana we were able to discover a real Jewell in the Crown: Locanda La Scuola, a school from the 1920s and now renovated and turned into a wonderful Bed&Brunch. The amusing thing is: the classrooms are still named after sc...
HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza. Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya Diamond imebariki uhusiano wake na Mbongo Fleva huyo na wanampa ushirikiano wa kutosha Kajala. Mwishoni mwa wiki hii, paparazi wa GPL aliwanasa laivu Kajala na Queen Darleen katika fukwe za White Sands, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam walipokuwa wameenda kupunga upepo na kuwapeleka watoto wao kuogelea. Kuonekana kwa wawili hao kuliibua gumzo la aina yake ambapo wafuatiliaji wa ‘ubuyu’ walionekana kunong’onezana kuwa yale waliyokuwa wakiyasikia na kuyasoma kwenye mitandao kuwa Kajala ana uhusiano na Diamond, yana ukweli. “ Itakuwa ni kweli Diamond anam...
Comments
Post a Comment