Mbwana Samatta Ampa Ujumbe Huu Thomas Ulimwengu Baada ya Kujiunga na Genk.

Ulimwengu na Samatta ni washkaji wa karibu sana ambapo walijuana kwa karibu sana kutokana na kucheza pamoja kwenye club ya TP Mazembe. Sasa hivi Mbwana Samatta amejiunga na KRC Genk na kumuacha Ulimwengu ndani ya TP Mazembe.

Baada ya kutangaza kumbwa amejiunga na club ya Genk Samatta ameonyesha furaha lakini pia huzuni wake upo anapotengana na mshkaji wake Thomas Ulimwengu.

Huu hapa ni ujumbe mrefu alioandika Samatta kwa ajili ya Thomas Ulimwengu.

“Am gonna miss you my nigga, hope to have you near me again/Nitaku miss sana rafiki yangu nina imani nitakuwa nawe karibu tena. Ulikuwa mshauri na mtia moyo sana katika vipindi vigumu ila ndio maisha yametupa “No Choice” katika hili. Stay blessed bro your my nigga forever����. Kila nikicheki picha we are pamoja najiskia ku-cry but no way. Wish you do the best in TP bro!!.

Comments

Popular posts from this blog

Locanda La Scuola, Lusiana / Italy

Adult film star has shocking freak accident with his eggplant (photos)

Director Nisher; Nini Kimepoteza Umaarufu Wa Kazi Zake.